forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
410 B
Markdown
12 lines
410 B
Markdown
|
# ushuhuda ninao pokea sio wa mwanadamu
|
||
|
|
||
|
"Sihitaji ushuhuda wa watu"
|
||
|
|
||
|
# okolewa
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha "kuokolewa" ni katika maana ya kiroho. Kama mtu amekwisha "akolewa" ina maanishakwambaMungu amekwisha msamehe na kumuokoa kutoka katika adhabu ya Jehanamu kwa ajili ya dhambi zake.
|
||
|
|
||
|
# Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara
|
||
|
|
||
|
Yohana anonesha utakatifu wa Mungu kama vile ambavyo taa itoavyo mwanga.
|