sw_tn/jhn/05/19.md

645 B

Kiunganishi cha sentesi:

Yesu anaendelea kuongea na viongozi wa Wayahudi.

Amini, amini

Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri 1:49; 1:51

mtashangazwa

"mtashangazwa" au mtasitushwa"

chochote anachofanya Baba, Mwana anayafanya haya mambo pia. Kwa Baba anampenda Mwana

Yesu, kama Mwana wa Mungu, alifuata na kutii uongozi wa Baba yake chini ya nchi kwa sababu Yesu alijua Baba anampenda.

Mwana...Baba

Hivi ni vyeo muhimu ambavyo zinaelezea uhusiano kati ya Yesu na Mungu.

penda

aina hii ya upendo unatoka utokao kwa Mungu unajali mazuri ya wengine, hata kama haina faida yake. Mungu mwenyew ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli.