forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
645 B
Markdown
24 lines
645 B
Markdown
|
# Kiunganishi cha sentesi:
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuongea na viongozi wa Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri 1:49; 1:51
|
||
|
|
||
|
# mtashangazwa
|
||
|
|
||
|
"mtashangazwa" au mtasitushwa"
|
||
|
|
||
|
# chochote anachofanya Baba, Mwana anayafanya haya mambo pia. Kwa Baba anampenda Mwana
|
||
|
|
||
|
Yesu, kama Mwana wa Mungu, alifuata na kutii uongozi wa Baba yake chini ya nchi kwa sababu Yesu alijua Baba anampenda.
|
||
|
|
||
|
# Mwana...Baba
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vyeo muhimu ambavyo zinaelezea uhusiano kati ya Yesu na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# penda
|
||
|
|
||
|
aina hii ya upendo unatoka utokao kwa Mungu unajali mazuri ya wengine, hata kama haina faida yake. Mungu mwenyew ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli.
|