forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
357 B
Markdown
16 lines
357 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
'Basi" linamwonesha Yohana anatoa kwa ufupi kuhusu tabia za viongozi wa Kiyahudi kwa Yesu.
|
|
|
|
# kazi
|
|
|
|
Hii ina maanisha shughli au kitu chochote kinachofanywa kuwatumikia watu.
|
|
|
|
# akijifanya yeye kuwa sawa na Mungu
|
|
|
|
"sema kwamba alikuwa sawa na Mungu"au kusema kwamba alikuwa na mamlaka makuu kama Mungu"
|
|
|
|
# Baba yangu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
|