forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
624 B
Markdown
28 lines
624 B
Markdown
# Kiiunganishi cha Sentesi:
|
|
|
|
Yohana Mbatizaji anamaliza kuongea."
|
|
|
|
# Kwa maana yeye ambaye Mungu amemtuma "
|
|
|
|
Huyu Yesu, ambaye Mungu amemtuma kumwakilisha."
|
|
|
|
# kwa kuwa hatoi Roho kwa kipimo
|
|
|
|
" Kwa sababu yeye ndiye ambaye Mungu amempa nguvu zote za Roho wake."
|
|
|
|
# Baba...Mwana
|
|
|
|
Hiki ni cheo kinachoelezea uhusiano wake kati ya Mungu na Yesu.
|
|
|
|
# amepewa...katika mikono yake
|
|
|
|
Hii ina maanisha kuwekwa katika nguvu zake au kuotawala.
|
|
|
|
# Yeye aaminiye
|
|
|
|
"Mtu aaminiye" au "mtu yeyote aaminiye."
|
|
|
|
# ghadhabu ya Mungu inamkalia
|
|
|
|
Nomino dhaniwa "ghadhabu" linaweza kufasiriwa kama kitenzi "adhibu." "Mungu ataendelea kumwadhibu."
|