sw_tn/jhn/03/34.md

624 B

Kiiunganishi cha Sentesi:

Yohana Mbatizaji anamaliza kuongea."

Kwa maana yeye ambaye Mungu amemtuma "

Huyu Yesu, ambaye Mungu amemtuma kumwakilisha."

kwa kuwa hatoi Roho kwa kipimo

" Kwa sababu yeye ndiye ambaye Mungu amempa nguvu zote za Roho wake."

Baba...Mwana

Hiki ni cheo kinachoelezea uhusiano wake kati ya Mungu na Yesu.

amepewa...katika mikono yake

Hii ina maanisha kuwekwa katika nguvu zake au kuotawala.

Yeye aaminiye

"Mtu aaminiye" au "mtu yeyote aaminiye."

ghadhabu ya Mungu inamkalia

Nomino dhaniwa "ghadhabu" linaweza kufasiriwa kama kitenzi "adhibu." "Mungu ataendelea kumwadhibu."