sw_tn/jhn/03/22.md

412 B

Baada ya haya

Hii inamaanisha baada ya Yesu kuongea na Nikodemo.

Aenoni

Neno hili linamaanisha "chemuchemi."

Salimu

kijiji au mji ulio karibu na Mto Yorodani.

kwa sababu mahali pale kulikuwa na maji mengi

"kwa sababu kilikuwa na chemuchemi nyingi katika sehemu ile."

walikuwa wakibatizwa

hili linaweza kusemwa kwa muundo wa kutenda. '" Yohana alikuwa akiwabatiza " au " alikuwa akiwabatiza."