sw_tn/jhn/03/19.md

725 B

Kiunganishi cha Sentesi:

Yesu anamaliza kumjibu Nikodemo.

nuru imekuja ulimwenguni

Neno "nuru" ni fumbo kwa kweli ya Mungu iliyofunuliwa katika Yesu. Dunia ni neno linalojumisha vitu vyote vilivyomo duniani. Yeye ambaye ni kama nuru ameifunua kweli ya Mungu kwa watu."

watu wakalipenda giza

"giza" ni fumbo linalomaanisha mahali ambapo hawajapokea nuru" ya ufunuo wa Mungu katika Kristo.

ili kwamba matendo yake yasiwe dhahili

inaweza kutamkwa katika muundo wa kutenda. "ili kwamba nuru isioneshe mambo ayafanyayo" au " kwamba ili nuru isifunue matendo yao.

matendo yake yaonekane wazi

Hili linaweza kutamkwa katika muundo tenda. " Watu wanaweza matendo yake" au "kila mtu aweze kuona mambo ahafanyayo.