forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
445 B
Markdown
20 lines
445 B
Markdown
# Maneno kwa Ujumla:
|
|
|
|
Nikodemo anakuja kumwona Yesu.
|
|
|
|
# sasa
|
|
|
|
Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo.
|
|
|
|
# mjumbe
|
|
|
|
sehemu ya kundi
|
|
|
|
# Halimashauli ya Wayahudi
|
|
|
|
hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi.
|
|
|
|
# twafahamu
|
|
|
|
hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi.
|