sw_tn/jhn/03/01.md

20 lines
445 B
Markdown

# Maneno kwa Ujumla:
Nikodemo anakuja kumwona Yesu.
# sasa
Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo.
# mjumbe
sehemu ya kundi
# Halimashauli ya Wayahudi
hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi.
# twafahamu
hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi.