sw_tn/jhn/03/01.md

445 B

Maneno kwa Ujumla:

Nikodemo anakuja kumwona Yesu.

sasa

Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo.

mjumbe

sehemu ya kundi

Halimashauli ya Wayahudi

hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi.

twafahamu

hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi.