forked from WA-Catalog/sw_tn
445 B
445 B
Maneno kwa Ujumla:
Nikodemo anakuja kumwona Yesu.
sasa
Neno hili lintumika hapa kutambulisha sehemu nyingine ya hadithi na kumtambulisha Nikodemo.
mjumbe
sehemu ya kundi
Halimashauli ya Wayahudi
hHalimashauli ya Kiyahudi inaitwa "Sanihedrini." Hili lilikuwa ndilo baraza muhimu kwa mabaraza yote ya Kiyahudi.
twafahamu
hapa "sisi" linajumuisha, likimaanisha tu kwa Nikodemo na wanachama wengine wa halimashauli ya Kiyahudi.