sw_tn/jhn/02/17.md

815 B

iliandikwa

Hii inaweza kusema katika muundo wa kutenda. Kuna mtu alikuwa ameandika."

nyumba yako

Neno hili linamaanisha, nyumba ya Mungu.

maliza

Neno hili "maliza" linaelekeza kwenye "moto." Upendo wa Yesu kwa ajili ya hekalu ni kama moto unaowaka ndani yake.

ishara

Hili ni tendo ambalo linalothibitisha kuwa ni jambo la kweli.

mambo haya

Haya yanamaanisha matendo ya Yesu aliyokuwa kinyume na wabadili fedha ndani ya hekalu.

Livunjenihili hekalu, na nitaliinua baada ya siku tatu

Yesu anamaanisha mwili wake kama hekalu kwamba atakufana kwamba atakuwa mzima tena baada ya siku tatu. Lakini, ni muhimu kutafasili haya maneno kuwa yameelezwa kuelezea kuvunja na kujenga jengo. Yesu hawaamuru wanafunzi wake kuvunja jengo la hekalu.

nitaliinua

Hii inamaanisha "kujenga" au 'kurudisha"