sw_tn/jhn/02/17.md

28 lines
815 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# iliandikwa
Hii inaweza kusema katika muundo wa kutenda. Kuna mtu alikuwa ameandika."
# nyumba yako
Neno hili linamaanisha, nyumba ya Mungu.
# maliza
Neno hili "maliza" linaelekeza kwenye "moto." Upendo wa Yesu kwa ajili ya hekalu ni kama moto unaowaka ndani yake.
# ishara
Hili ni tendo ambalo linalothibitisha kuwa ni jambo la kweli.
# mambo haya
Haya yanamaanisha matendo ya Yesu aliyokuwa kinyume na wabadili fedha ndani ya hekalu.
# Livunjenihili hekalu, na nitaliinua baada ya siku tatu
Yesu anamaanisha mwili wake kama hekalu kwamba atakufana kwamba atakuwa mzima tena baada ya siku tatu. Lakini, ni muhimu kutafasili haya maneno kuwa yameelezwa kuelezea kuvunja na kujenga jengo. Yesu hawaamuru wanafunzi wake kuvunja jengo la hekalu.
# nitaliinua
Hii inamaanisha "kujenga" au 'kurudisha"