forked from WA-Catalog/sw_tn
465 B
465 B
Basi
Neno hili linaonyesha tukio lililotokea kwa sababu ya kile kilichotokea mwanzoni. Katika hali hii, Yesu aliwaona wabadili fedha wamekaa katika hekalu.
Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu soko
Yesu, Mwana wa Mungu, anawafukuza wafanyabiashara kutoka mahali palipoandaliwa kwa ajili ya ibada ya Baba yake, Mungu Baba, kumuheshimu.
nyumba ya Baba yangu
Haya ni maneno ambayo Yesu aliyasema yakimaanisha hekalu.
Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.