sw_tn/jhn/02/15.md

465 B

Basi

Neno hili linaonyesha tukio lililotokea kwa sababu ya kile kilichotokea mwanzoni. Katika hali hii, Yesu aliwaona wabadili fedha wamekaa katika hekalu.

Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu soko

Yesu, Mwana wa Mungu, anawafukuza wafanyabiashara kutoka mahali palipoandaliwa kwa ajili ya ibada ya Baba yake, Mungu Baba, kumuheshimu.

nyumba ya Baba yangu

Haya ni maneno ambayo Yesu aliyasema yakimaanisha hekalu.

Baba

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.