forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
485 B
Markdown
12 lines
485 B
Markdown
# Maelezo kwa Jumla:
|
|
|
|
Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa arusini. Mstari huu unaonyesha habari ya nyuma juu ya habari inavyoanza.
|
|
|
|
# Siku tatu baadaye
|
|
|
|
Wafaasili wengi husoma hili kama siku ya tatu baada ya Yesu kumwiita Filipo and Nathanaeli kuja kwake. Siku ya kwanza inaonekana katika Yohana 1:35 na siku ya pili ni 1:43
|
|
|
|
# Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa harusini
|
|
|
|
Hii inaweza kutamkwa kama tendaji. AT: " Mtu alimwalika Yesu na wanafunzi wake katika arusi."
|