forked from WA-Catalog/sw_tn
334 B
334 B
Katika mwaka wa thelathini na saba
mwaka wa saba
Katika mwezi wa kumi na mbili,siku ya ishirini na tano ya mwezi
Hii ni siku ya kumi na mbili na mwezi wa mwisho kwa kalenda ya Kienrania.
Ikawa
Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Evil Merodaki
Alikuwa mfalme wa Babeli baada ya Nebukadreza.