sw_tn/jer/51/01.md

16 lines
210 B
Markdown

# upepo wa uharibifu
"uhasibifu usio na mwisho"
# Leb- Kamai
Hili ni jina lingine la Babeli.
# Kutawanyika
Kutawanyika ni kusambaratisha na kwenda uelekeo tofauti.
# Siku ya maafa
"siku itakapoharibiwa"