sw_tn/jer/50/44.md

640 B

Tazama

Neno hili linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.

Walikwenda juu

Hawa ni wavamiaji toka kaskazini.

Kama simba

Hii ni jina nyingine ya kusema kuwa uvamizi ulikuwa wa nguvu na usiotarajiwa.

Kwa haraka nitawafanya waikimbie

Hapa wanazungumziwa watu wa Babeli ambao watawakimbia wavamizi.

ambaye atachaguliwa

"ambaye nitamchagua"

Nani kama mimi, na nani atakayeniita?

Bwana anatumia swali kuonesha udogo wa mwanadamu. "Hakuna kama mimi, hakuna wa kuniamuru."

kuita

Kumuamuru mtu aje

Ni mchungaji gani atakayepambana na mimi?

Bwana anatumia swali kuonesha kuwa hakuna kiongozi wa kumpinga au kumshinda.