forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
640 B
Markdown
32 lines
640 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.
|
||
|
|
||
|
# Walikwenda juu
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wavamiaji toka kaskazini.
|
||
|
|
||
|
# Kama simba
|
||
|
|
||
|
Hii ni jina nyingine ya kusema kuwa uvamizi ulikuwa wa nguvu na usiotarajiwa.
|
||
|
|
||
|
# Kwa haraka nitawafanya waikimbie
|
||
|
|
||
|
Hapa wanazungumziwa watu wa Babeli ambao watawakimbia wavamizi.
|
||
|
|
||
|
# ambaye atachaguliwa
|
||
|
|
||
|
"ambaye nitamchagua"
|
||
|
|
||
|
# Nani kama mimi, na nani atakayeniita?
|
||
|
|
||
|
Bwana anatumia swali kuonesha udogo wa mwanadamu. "Hakuna kama mimi, hakuna wa kuniamuru."
|
||
|
|
||
|
# kuita
|
||
|
|
||
|
Kumuamuru mtu aje
|
||
|
|
||
|
# Ni mchungaji gani atakayepambana na mimi?
|
||
|
|
||
|
Bwana anatumia swali kuonesha kuwa hakuna kiongozi wa kumpinga au kumshinda.
|