|
# Watu wa Kemoshi wameharibiwa
|
|
|
|
"Watu wa Kemoshi wameharibiwa na adui zao"
|
|
|
|
# Kemoshi
|
|
|
|
"Kemoshi" ni mungu mkuu wa Wamoabu. Hapa Kemoni inawakilisha taifa la Moabu.
|
|
|
|
# siku zijazo
|
|
|
|
Hizi ni siku za wakati ujao, zilizoitwa "siku za mwisho."
|
|
|
|
# Analosema Bwana
|
|
|
|
"alilosema Bwana"
|