forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
329 B
Markdown
12 lines
329 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Maono ya Yeremia juu ya Misri yanaendelea.
|
|
|
|
# Nini ninachokiona hapa?
|
|
|
|
Bwana anatumia swali kusisitiza kuwa anayoyasema juu ya Misri ni kweli.
|
|
|
|
# wepesi hawawezi kukimbia na askari hawawezi kutoroka
|
|
|
|
Sentensi hizi mbili zina maana sawa zikisistiza kuwa hakuna anayeweza kukimbia awe mwenye nguvu au mwepesi.
|