# Warekabi.
Angalia ufafanuzi katika mstari wa kwanza wa sura hii ya 35.
# Yonadabu ... Rekabu.
Haya ni majina ya kiume.
# Ili kwamba muweze kuishi miaka mingi katika nchi.
Neno "Siku" , hapa linamaanisha kipindi cha maisha kirefu."