forked from WA-Catalog/sw_tn
474 B
474 B
imekamilika
"wakati adhabu yao iko kamili"
kuifanya kuwa ukiwa milele
Mungu ameahidi kuigeuza Babiloni kuwa jangwa kama jangwa.
Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao
Mungu atawafanya wapate adhabu sawa na waliyoifanya juu ya mataifa waliyoyashinda.
matendo yao na kazi za mikono yao
Maneno haya mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza kuwa Yahweh inazungumzia kila kitu ambacho wamefanya kwa mataifa mengine. AT "kila kitu ambacho wamefanya."