sw_tn/jer/22/04.md

534 B

wafalme wanaoketi kiti cha Daudi

Hii inahusu wafalme wenye mamlaka kama Daudi. Wafalme, wanatawala kama Daudi mbele yao

wakiendesha gari na farasi

Maneno haya yanaelezea wafalme kama wenye nguvu na matajiri.

yeye, watumishi wake, na watu wake

Sentensi hii inaorodhesha wote ambao watakuwa na nguvu na matajiri. "yeye, watumishi wake, na watu wake watapanda ngome juu ya magari na farasi"

ikiwa husikiliza

"ikiwa husikiliza" (UDB) au "ikiwa hutii"

hili ni tamko la bwana

Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.