forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
534 B
Markdown
20 lines
534 B
Markdown
|
# wafalme wanaoketi kiti cha Daudi
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu wafalme wenye mamlaka kama Daudi. Wafalme, wanatawala kama Daudi mbele yao
|
||
|
|
||
|
# wakiendesha gari na farasi
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaelezea wafalme kama wenye nguvu na matajiri.
|
||
|
|
||
|
# yeye, watumishi wake, na watu wake
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaorodhesha wote ambao watakuwa na nguvu na matajiri. "yeye, watumishi wake, na watu wake watapanda ngome juu ya magari na farasi"
|
||
|
|
||
|
# ikiwa husikiliza
|
||
|
|
||
|
"ikiwa husikiliza" (UDB) au "ikiwa hutii"
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la bwana
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
|