sw_tn/jer/17/12.md

28 lines
689 B
Markdown

# Mahali pa hekalu letu ni kiti cha enzi
Yeremia anafananisha hekalu na "kiti cha enzi cha utukufu" kwa sababu kuna pale ambapo Bwana anakaa na kutawala.
# Mahali pa hekalu letu
Hii inamaanisha Sayuni huko Yerusalemu.
# Wote ambao wanakuacha
Hapa neno "wewe" linamaanisha Bwana.
# Wale walio katika nchi ambao wanageuka kutoka kwakowatauliwa
"Wewe utawaangamiza wale walio katika nchi ambao hugeuka kutoka kwako"
# chemchemi ya maji yaliyo hai
Yeremia anafananisha Bwana na chemchemi ya maji safi. AT "chemchemi ya maji safi, ya maji" au "chanzo cha maisha yote"
# Nitaponywa ... Nitaokolewa
"hakika utaniponya ... utakuwa umenipenda"
# wimbo wangu wa sifa
"ambaye nitamsifu"