forked from WA-Catalog/sw_tn
345 B
345 B
neno la Bwana lilifika kwa
Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 1.
Watakuwa kama samadi juu ya nchi
Wanaume na binti waliozaliwa katika nchi hulinganishwa na ndovu kwa sababu hawatazikwa baada ya kufa.
Kwa maana wataangamizwa
Hii ni njia nyepesi ya kusema kwamba watakufa.
kwa upanga
Neno "upanga" linamaanisha jeshi la adui.