sw_tn/jer/14/15.md

603 B

Taarifa za jumla

Yeremia amekwisha kuzungumza na Bwana juu ya mambo ambayo manabii wa uongo wamekuwa wanatabiri

wanatabiri kwa jina langu

Hapa "jina" linawakilisha mawazo ya mamlaka. AT "kutabiri wakati wa kudai mamlaka yangu ya kufanya hivyo"

hakutakuwa na upanga

Hapa "upanga" unamaanisha wazo la vita. AT "hakutakuwa na vita"

nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao

Tabia za uadili kama vile uovu mara nyingi huzungumzwa kwa Kiebrania kama kwamba walikuwa maji. Pia, ubora wa uovu umesimama hapa kwa adhabu inayostahiliwa na watu waovu. AT "Nitawaadhibu njia ambayo inastahili kuadhibiwa".