forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1012 B
Markdown
44 lines
1012 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda. Katika mstari wa 12, Yeremia anatoa maoni yake.
|
|
|
|
# Nitaimba wimbo ...kwa ajili ya milima
|
|
|
|
BWANA anaomboleza kwa ajili ya nchi ya Israeli kana kwamba mtu amekufa.
|
|
|
|
# milima
|
|
|
|
mahali ambapo wanyama hupata malisho
|
|
|
|
# kwa kuwa wameteketezwa
|
|
|
|
"kwa kuwa kuna mtu ambaye ameyateketeza hayo malisho
|
|
|
|
# Hawatasikia sauti ya ngombe yeyote
|
|
|
|
"Hakuna ambaye atasikia sauti ya ng'ombe
|
|
|
|
# maficho ya mbweha
|
|
|
|
"mahali ambapo mbweha hujificha"
|
|
|
|
# mbweha
|
|
|
|
mbwa wakali
|
|
|
|
# isiyokaliwa na watu
|
|
|
|
"mahali ambapo watu hawakai
|
|
|
|
# Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya
|
|
|
|
"kama manabii wenu ni wenye hekima kweli, wanapaswa kuelewa kwa nini nchi imeharibiwa
|
|
|
|
# Je, kinywa cha BWANA kinatanga nini kwake ili awaeze kuyasema
|
|
|
|
"Kama kweli BWANA anasema na manabii wenu, basi wanapaswa kuwaambia kile ambacho BWANA anasema juu ya uharibifu wa nchi."
|
|
|
|
# kwa nini nchi imepotea
|
|
|
|
"Lakini manabii wenu hawana hekima na BWANA hasemi nao, kwa hio hawajui kwa nini nchi imeharibika"
|