sw_tn/jer/04/23.md

300 B

Niliiona nchi, na kuiona

Huu ni mwaliko kwa Yeremia kuyatazama maono ambayo Mungu anampatia

ilikuwa ukiwa na utupu

Huu ni unabiiwa jinsi nchiya Israeli it akavyokuwa baada ya watu wote kupelekwa katika utumwa.

Tazama

Neno "tazama" linatuashiria kuwa tayari ili kupokea taarifa zinazofuata