sw_tn/jer/03/11.md

12 lines
348 B
Markdown

# mwenye haki, haki
Neno "haki" na "mwenye haki" linamlenga Mungu ambaye yeye ni mwema, mwenye hukumu sahihi, mwaminifu, na mwenye upendo, na kwa sabab yeye ni mwenye haki; basi ataihukumu dhambi.
# Neno
Neno linamaanishsa kitu ambacho mtu amesema.
# mwaminifu
Kuwa mwaminifu kwa Muungu maana yake ni kuishi kulingana na mafundisho ya Mungu.