sw_tn/jdg/20/36.md

372 B

Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.

Sentensi hii mpaka mstari wa 41 unaelezea ni kwa namna gani uvamizi ulisababisha Wabenyamini kushindwa.

wametoa ardhi kwa Benyamini

"Waliwaruhusu Wabenyamini kusogea mbele"

walikuwa wakihesabu watu

Waliwaamini watu wao.