sw_tn/jdg/20/27.md

327 B

wa sababu ya sanduku la agano la Mungu ... akihudumia mbele ya sanduku siku hizo

Mwandishi anatueleza ni kwa namna gani watu waliomba msaada kwa Bwana.

lilikuwapo siku hizo

"lilikuwepo Batheli siku hizo"

akihudumia mbele ya sanduku

"akihudumu kama kuhani mbele ya sanduku"

Wapigeni

"Wapigeni jeshi la Benyamini"