sw_tn/jdg/16/01.md

418 B

akalala pamoja naye

"Akalala naye"

Watu wa Gaza wakaambiwa

"Kuna mtu aliwaambia watu wa Gaza"

Watu wa Gaza wakazunguka mahali hapo ... wakamngoja usiku wote katika lango la jiji

Hii inaonesha kuwa Wagaza walizunguka sehemu ambayo Samsoni alikuwepo na wengine wakasubiri katika lango la jiji ili asiondoke.

Walikaa kimya usiku wote

"Hawakupiga kelele zozote usiku kucha" au "hawakutaka kumkamata usiku"