sw_tn/jdg/14/19.md

639 B

akaja kwa Samsoni kwa nguvu

"akaja" hii inamaanisha kuwa roho wa Bwana alimchochea Samsoni. "akamfanya Samsoni kuwa na nguvu sana"

Akawauwa watu thelathini

"Akawauwa watu 30"

watu hao

"watu walioishi hapo"

Nyara

Vitu vinavyochukuliwa kwa nguvu, hasa baada ya mapigano vitani.

Seti ya nguo

"Seti ya nguo alizochukua"

alikasirika

"kukasirika sana"

akaenda nyumbani kwa baba yake

Samsoni alikuwa Timna ambapo kulikuwa juu kuliko sehemu ambayo nyumba ya baba yake ilikuwepo.

Na mke wake akachukuliwa na rafiki yake

"baba wa mke wake alimkabidhi kwa rafiki yake wa karibu"

Rafiki wa karibu

"rafiki wa karibu"