sw_tn/jdg/14/18.md

533 B

Siku ya saba

"siku ya 7"

Watu wa mji

Hawa ni ndugu wa mke wa Samsoni.

Ni nini kilicho bora zaidi kuliko asali? Ni kitu gani chenye nguvu kuliko simba?

Hili ndilo jibu la kitendawili. "asali ni tamu na simba ni mkali" au "asali ni tamu na imetoka kwa simba"

Ikiwa hamkulima na ng'ombe wangu

Samsoni anafananisha kumtumia mke wake kupata jibu kama kutumia ng'ombe wa mtu kulima shamba lake. "Kama msingemtumia mke wangu"

Kulima

Hiki ni kitendo cha kutumia mnyama kuvuta jembe kuandaa ardi kwa ajili ya kuweka mbegu.