sw_tn/jdg/13/19.md

431 B

sadaka ya nafaka

Sheria hii inataka sadaka ya nafaka itolewe wakati sadaka ya kuteketezwa inatolewa.

juu ya mwamba

"juu ya madhabahu"

Alifanya jambo

"Malaika alifanya jambo"

malaika wa Bwana akapanda katika moto wa madhabahu

"malaika wa Bwana akarudi mbinguni kupitia miale ya moto juu ya madhabahu"

wakainamisha vichwa vyao chini

Hii ni ishara ya utii na heshima lakini pia inaonesha walikuwa na hofu ya Bwana.