sw_tn/jdg/13/17.md

246 B

maneno yako yatakapotimia

"maneno yako" haya ni maneno ambayo malaika aliyasema.

Mbona unauliza jina langu?

Malaika anamuuliza swali kwa kumkemea. swali hili laweza kuwa "Hupaswi kuniuliza jina langu"

Ni ajabu

"Ni ajabu kwako kuelewa"