sw_tn/jdg/13/01.md

449 B

yaliyo mabaya machoni pa Bwana

"machoni pa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.

akawatia mikononi mwa Wafilisti

"mkono" inamaanisha nguvu ya kushinda vitani. "aliruhusu Wafilisti wawashinde"

Miaka arobaini

"miaka 40"

Sora

Hili lilikuwa jina la mji katika Israeli. Ilikuwa katika mji wa Yuda karibu na mpaka wa Dani.

Wadani

Watu wa kabila la Dani.

Manoa

Hili ni jina la mwanaume.