sw_tn/jdg/12/03.md

843 B

hamkuniokoa

Yeftha anawazungumzia watu wa Gileadi pamoja na yeye mwenyewe.

nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe

Hii inamaanisha kuyatoa muhanga maisha yako na kutegemea nguvu zako mwenyewe.

Bwana alinipa ushindi

Yeftha anaonesha kuwa Bwana aliwapa ushindi watu wa Gileadi juu ya Waanoni.

akapigana na Efraimu

Yeftha na watu wote wa Gileadi walipigana na Efraimu.

Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?

Yeftha inamaanisha watu wa Gileadi. "Kwa nini mmekuja kupigana nasi"

Ninyi Wagileadi ni wakimbizi

"ninyi Wagileadi hapa sio kwenu. Mmekuja hapa kuishi tuu"

kupita ili kupigana na wana wa Amoni

Hii inamaanisha walipigana na Waamoni walipokuwa wakipita Amoni.

Wagileadi

"watu kutoka Gileadi"

katika Efraimu-katika Efraimu na Manase

"katika mji wa Efraimu na manase" au "katika nchi ya Efraimu na Manase"