forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
599 B
Markdown
32 lines
599 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Mjumbe wa Yeftha anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Miaka mia tatu
|
|
|
|
"miaka 300"
|
|
|
|
# Heshboni
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# Aroeri
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# Arnoni
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# kwa nini hamkuwachukua tena wakati huo?
|
|
|
|
"Mngewachukua tena wakati huo" au "sasa mmechelewa; mngewachukua wakati huo."
|
|
|
|
# ijawafanyia vibaya, lakini mnanifanyia vibaya kwa kunishambulia
|
|
|
|
Yeftha anazungumza na Sihoni. "Waisraeli hawajakufanyia mabaya, lakini watu wako wanatutendea mabaya kwa kutushambulia.
|
|
|
|
# kuwatenda mabaya ... kunitendea mabaya
|
|
|
|
Kumtendea mtu mabaya inamaana kumfanyia mtu jambo baya.
|