sw_tn/jdg/11/26.md

599 B

Taarifa ya jumla:

Mjumbe wa Yeftha anaendelea kuzungumza.

Miaka mia tatu

"miaka 300"

Heshboni

Hili ni jina la mji.

Aroeri

Hili ni jina la mji.

Arnoni

Hili ni jina la mji.

kwa nini hamkuwachukua tena wakati huo?

"Mngewachukua tena wakati huo" au "sasa mmechelewa; mngewachukua wakati huo."

ijawafanyia vibaya, lakini mnanifanyia vibaya kwa kunishambulia

Yeftha anazungumza na Sihoni. "Waisraeli hawajakufanyia mabaya, lakini watu wako wanatutendea mabaya kwa kutushambulia.

kuwatenda mabaya ... kunitendea mabaya

Kumtendea mtu mabaya inamaana kumfanyia mtu jambo baya.