forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
446 B
Markdown
24 lines
446 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Mjumbe wa Yeftha anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Israeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni
|
|
|
|
Wajumbe walitumwa na viongozi wa Israeli.
|
|
|
|
# Sihoni
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu.
|
|
|
|
# Heshboni ... Yahasa
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji.
|
|
|
|
# Lakini Sihoni hakumwamini Israeli apite katika eneo lake
|
|
|
|
Sihoni hakumuamini Israeli apite katika nchi yake kwa amani.
|
|
|
|
# Akapigana huko
|
|
|
|
Sihoni anawakilisha jeshi lake. "wakapigana huko" au "jeshi lake likapigana huko"
|