forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
592 B
Markdown
32 lines
592 B
Markdown
# uzee mzuri
|
|
|
|
"Alipokuwa mzee"
|
|
|
|
# Akazikwa
|
|
|
|
Inaweza kuandikwa hivi "wakamzika"
|
|
|
|
# Ofra
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# jamaa ya Abiyezeri
|
|
|
|
Hili ni kundi la watu toka katika uzao wa Abiezeri.
|
|
|
|
# Ikawa
|
|
|
|
Hii hutumika kuonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yako ina njia nyingine ya kufanya hivi unaweza kuitumia.
|
|
|
|
# wakageuka tena
|
|
|
|
Watu walimkataa Bwana na hii imefananishwa na kitendo cha kugeuka toka kwake. "waliacha kumuabudu Bwana"
|
|
|
|
# kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali
|
|
|
|
Kuabudu miungu ya uongo inafananishwa na ukahaba.
|
|
|
|
# Baali Berith
|
|
|
|
Hili ni jina la mungu wa uongo
|