sw_tn/jdg/08/11.md

20 lines
304 B
Markdown

# Gideoni akapanda
"Gideoni" inawakilisha askari wake wote. "Gideoni na askari wake"
# Akalishinda
"Gideoni na jeshi lake wakalishinda"
# Noba na Yogbena
Haya ni majina ya miji.
# Zeba na Salmuna
Haya ni majina ya wanaume.
# Hofu
Uwoga uliopitiliza unaosababisha mtu akashindwa kufikiri vizuri.