sw_tn/jdg/06/34.md

327 B

Akaja juu ya Gideoni.

"kumtawala Gideoni"

Jamaa ya Abiezeri.

Hili ni kundi la watu wa Abiezeri.

ili wamfuate

"ili wamfuate katika vita"

na wao pia, waliitwa nje kumfuata

"waliitwa nje wamfuate"

Asheri, Zabuloni, na Naftali

Yote haya yanawakilisha watu wa kila kabila. "kabila la Asheri, Zebuloni na Naftali"