sw_tn/jdg/06/22.md

503 B

Malaika wa Bwana

Bwana akamtokea Gidioni kwa mfano wa Malaika.

Ewe Bwana MUNGU!

"ewe" hii inaonesha kuwa Gidioni alikuwa na hofu.

nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso

Hii inaelezea namna ambavyo watuu wawili wapo karibu. "nimemwona kabisa malaika wa Bwana"

Bwana akamwambia

Bwana alizungumza na Gidioni toka mbinguni.

Hadi leo

Hii inamaanisha wakati ambao kitabu kitabu cha Waamuzi kimeandikwa.

Ofra

Hili ni jina la mji.

jamaa ya Abiezeri

Hili ni kundi la watu wa Abiezeri.