sw_tn/jdg/06/07.md

296 B

walipomwomba Bwana

"wakamwomba Bwana msaada"

Kwa sababu ya Midiani.

"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani.

Nimekuleta kutoka Misri

"Nimekuongoza kutoka Misri"

Nyumba ya utumwa

Musa anaizungumzia Misri kama nyumba ambayo watu waliwahifadhi watumwa. "sehemu ambayo mlikuwa watumwa"