forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
296 B
Markdown
16 lines
296 B
Markdown
|
# walipomwomba Bwana
|
||
|
|
||
|
"wakamwomba Bwana msaada"
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya Midiani.
|
||
|
|
||
|
"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani.
|
||
|
|
||
|
# Nimekuleta kutoka Misri
|
||
|
|
||
|
"Nimekuongoza kutoka Misri"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya utumwa
|
||
|
|
||
|
Musa anaizungumzia Misri kama nyumba ambayo watu waliwahifadhi watumwa. "sehemu ambayo mlikuwa watumwa"
|