forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
611 B
Markdown
28 lines
611 B
Markdown
# Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora
|
|
|
|
"wangu" ina maanisha Debora. Sentensi hii inaweza kuandikwa "Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja nami"
|
|
|
|
# Debora
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamke.
|
|
|
|
# Isakari alikuwa na Baraka
|
|
|
|
"Isakari" ni kabila la Isakari.
|
|
|
|
# Baraka
|
|
|
|
hili ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# waliingia bondeni kwa kasi chini ya amri yake.
|
|
|
|
"kutii amri zake na kumfuata bondeni"
|
|
|
|
# Kumfuata
|
|
|
|
"kumfuata nyuma kwa kasi"
|
|
|
|
# kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
|
|
|
|
"moyo" inawakilisha fikra. Watu kujadili wao kwa wao lakini wakashindwa kuamua nini cha kufanya inafananishwa na kutafuta mioyo yao.
|