forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
524 B
Markdown
24 lines
524 B
Markdown
# yaliyo mabaya machoni pa Bwana
|
|
|
|
"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani
|
|
|
|
# Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu
|
|
|
|
"Bwana akamfanya Elgoni mfalme wa Moabu kuwa na nguvu"
|
|
|
|
# Egloni mfalme wa Moabu, kuwashinda Waisraeli
|
|
|
|
"Egloni mfalme wa Moabu" inawakilisha jeshi lake. "Egloni mfalme wa Moabu na askari wake wakavamia jeshi la Israeli"
|
|
|
|
# Egloni
|
|
|
|
Hili ni jina la mfalme.
|
|
|
|
# mji wa Mitende.
|
|
|
|
Hili ni jina lingine la mji wa Yeriko.
|
|
|
|
# Miaka kumi na nane
|
|
|
|
"miaka 18"
|